KARIBU
Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma (PPAA) ni chombo kilichoanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 88 cha Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 pamoja na marekebisho yake ya Mwaka 2016. Kwa mujibu wa Vifungu vya 88(5) na 97 vya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011, jukumu kuu la Mamlaka ni kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya malalamiko au rufaa zitokanazo na michakato mbalimbali ya ununuzi Umma. Pia Mamlaka ina jukumu la kusikiliza malalamiko yanayotokana na kufungiwa kwa wazabuni (Blacklist of Tenderers).
Kuanzishwa kwa Mamlaka:
Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma ilianzishwa na Sheria ya Ununuzi wa Umma Na. 3 ya Mwaka 2001 ambapo baada ya Sheria hii kufutwa, Mamlaka iliendelezwa chini ya Sheria ya...
Read more
BONYEZA PAKUA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2014/2015)
CASE NUMBER
APPELLANT
RESPONDENT
PAKUA
Kesi Na.1
M/S OKOAMUDA LTD
KITETO DISTRICT COUNCIL
Kesi Na.2
B...
Read more
BONYEZA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2015/2016)
KESI NA.
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
PAKUA
Kesi Na.01
M/S TRANSSY SOLUTIONS FZE AND M/S MACRO SOFTWARE SYSTEMS (T) LTD
TANZANIA PORTS A...
Read more
BONYEZA KUPAKUA MAAMUZI (2016 - 2017)
KESI Na.
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
PAKUA
Kesi Na.1
M/S ZUMA OFFICE CLEANING
AND GARDENING
BABATI DISTRICT COUNCIL
...
Read more
BONYEZA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2009/2013)
KESI NA
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
PAKUA
Kesi Na.59
MPUTA SECURITY SERVICES GUARDS & FULL TIME SECURITY
INSTITUTE OF RURAL DEVE...
Read more
Uwasilishaji wa Malalamiko au Rufaa
Kuna njia mbili za uwasilishaji wa Malalamiko au Rufaa
Njia ya kwanza (Mzabuni > Afisa Masuuli > PPAA)
Tuma barua rasmi ya malalamiko...
Read more
Sheria na Kanuni
Kanuni za Rufaa 2014
Kanuni za Rufaa (Marekebisho) 2017
Sheria ya Manunuzi ya Umma 2011
Sheria ya Manunuzi ya Umma (Marekebisho) 2016
Kanununi za Manunuzi ya Umma 20...
Read more